mosesfrank
Member
- Dec 20, 2016
- 40
- 12
Msaada jamani naitaji kuhama Chuo ..nataka nitike Chuo xx.nienche Chuo cha afya kilichopo Moro dar. Ila kiwe cha afya Na kiwe Na coz ya pharmacy ngaz ya diploma ..Na private ..naombeni msaada nijue jinsi ya kufwatilia uwamisho