naomben mnisaidie wana jf wenzangu...me ni msichana nmedumu na my bf takriban miaka 4 mapenz yetu yalikuwa mazuri before my bf ajapata kazi now kapata kazi kanibadlikia sana mpaka siamini kama ndo yeye 2liyekuwa tunapendana na week ya tatu sasa hapokei cm yangu mpaka ni2mie namba nyingine nkimuulza ananiambia hayuko sawa akiwa sawa ataniambia sababu imefkia mpaka hatua kahama bila kuniambia naskia kwa watu tu.Naumia sana natamani ni control hii situation but iz very diffucult sielew why ananifanyia hv msaada jamani bdo nampenda sana