jaman natumaini ni wazima!
natumain anayeuliza anahitaji kujua coz hakuna aliyezaliwa anajua
mara nyingi huwa natumia sana simu lkn nikitaka ku upload picha huwa inanikatalia na hiki hii wiki
nimejaribu kutumia cmpter bado inanigomea
nisaidien plz nitumie njia zipi?
mkinisaidia ntajiskia:israel::majani7::violin: