Msaada: iPhone 6 plus ina changamoto ya battery

Anganjwiri92

Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
30
Reaction score
44
Habari JF,

Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta.

Hapa shida ni nini?
 
Tangu enzi za Iphone 6 hadi leo bado unayo? Watoto waliozaliwa wakati zinatoka mara ya kwanza wapo Primary school. Kweli wewe mtunzaji. Au ni zile wanaita re-furbished?

Jipange ununue mpya mkuu, huenda simu imezeeka.
 
Bila shaka uyu ni mtumiaji wa itel
Tangu enzi za Iphone 6 hadi leo bado unayo? Watoto waliozaliwa wakati zinatoka mara ya kwanza wapo Primary school. Kweli wewe mtunzaji. Au ni zile wanaita re-furbished?
Jipange ununue mpya mkuu, huenda simu imezeeka.
 
Iyo battery imekufa mkuu, iko hivi kama ilishabadilishwa battery kabla huwa inasoma 100% BH hata kama battery imekufa
 
Habari JF

Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta

Hapa shida ni nini?
aliyekufungia battery hajaikaza connection vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…