Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta.
Tangu enzi za Iphone 6 hadi leo bado unayo? Watoto waliozaliwa wakati zinatoka mara ya kwanza wapo Primary school. Kweli wewe mtunzaji. Au ni zile wanaita re-furbished?
Tangu enzi za Iphone 6 hadi leo bado unayo? Watoto waliozaliwa wakati zinatoka mara ya kwanza wapo Primary school. Kweli wewe mtunzaji. Au ni zile wanaita re-furbished?
Tangu enzi za Iphone 6 hadi leo bado unayo? Watoto waliozaliwa wakati zinatoka mara ya kwanza wapo Primary school. Kweli wewe mtunzaji. Au ni zile wanaita re-furbished?
Jipange ununue mpya mkuu, huenda simu imezeeka.
Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta