M Mabugamtundu Member Joined Jun 3, 2021 Posts 15 Reaction score 8 Oct 11, 2021 Thread starter #21 Yelawolf49 said: Matokeo ya interview ya oral?? Siku 2 watoe Click to expand... Wametoa matokeo ya waliofanya practical jana na juzi
Yelawolf49 said: Matokeo ya interview ya oral?? Siku 2 watoe Click to expand... Wametoa matokeo ya waliofanya practical jana na juzi
Moo Click JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,495 Reaction score 3,253 Oct 11, 2021 #22 Yelawolf49 said: Matokeo ya interview ya oral?? Siku 2 watoe Click to expand... Hatukuelewana nadhan... Matokeo niliyo kujibu yashatoka
Yelawolf49 said: Matokeo ya interview ya oral?? Siku 2 watoe Click to expand... Hatukuelewana nadhan... Matokeo niliyo kujibu yashatoka
DanbyHR JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 286 Reaction score 394 Oct 11, 2021 #23 Moo Click said: Dah ile pepa ni nyoko Click to expand... Si umeona tokeo lakini? Watu wamepiga kama kawa mi nilifanya zote mbili. Kuna moja mtu wa kwanza ana 87...
Moo Click said: Dah ile pepa ni nyoko Click to expand... Si umeona tokeo lakini? Watu wamepiga kama kawa mi nilifanya zote mbili. Kuna moja mtu wa kwanza ana 87...
DanbyHR JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 286 Reaction score 394 Oct 11, 2021 #24 Yelawolf49 said: Kuna mwana tokeo limemkutia dsm Click to expand... wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral.
Yelawolf49 said: Kuna mwana tokeo limemkutia dsm Click to expand... wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral.
Moo Click JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,495 Reaction score 3,253 Oct 11, 2021 #25 DanbyHR said: Si umeona tokeo lakini? Watu wamepiga kama kawa mi nilifanya zote mbili. Kuna moja mtu wa kwanza ana 87... Click to expand... Umeitwa kwenye zote? Au moja?
DanbyHR said: Si umeona tokeo lakini? Watu wamepiga kama kawa mi nilifanya zote mbili. Kuna moja mtu wa kwanza ana 87... Click to expand... Umeitwa kwenye zote? Au moja?
Moo Click JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,495 Reaction score 3,253 Oct 11, 2021 #26 DanbyHR said: wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral. Click to expand... Mi nilifanya zote mbili ila niliyo ipata ni ambayo sikutegemea kulingana na pepa yenyewe ilivyo kua
DanbyHR said: wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral. Click to expand... Mi nilifanya zote mbili ila niliyo ipata ni ambayo sikutegemea kulingana na pepa yenyewe ilivyo kua
Y Yelawolf49 Member Joined Sep 20, 2017 Posts 73 Reaction score 65 Oct 11, 2021 #27 DanbyHR said: wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral. Click to expand... Written ilimuengua ndo first interview ya utumishi amefanya
DanbyHR said: wanakuwa na roho nyepesi. Na wameita watu wengi tu kwenda oral. Click to expand... Written ilimuengua ndo first interview ya utumishi amefanya
E Elroysangi Member Joined Jan 11, 2021 Posts 11 Reaction score 3 Oct 11, 2021 #28 Wazee naombeni kuuliza majibu ya oral interview za itumishi yanatoka baada ya mda gani maana ni 25days now naona kimya
Wazee naombeni kuuliza majibu ya oral interview za itumishi yanatoka baada ya mda gani maana ni 25days now naona kimya
D Doris fransis Member Joined Sep 21, 2021 Posts 20 Reaction score 4 Oct 11, 2021 #29 Elroysangi said: Wazee naombeni kuuliza majibu ya oral interview za itumishi yanatoka baada ya mda gani maana ni 25days now naona kimya Click to expand... Ulifanya kitengo gani malanyingi uwa inakuwa wiki mbili mpaka tatu
Elroysangi said: Wazee naombeni kuuliza majibu ya oral interview za itumishi yanatoka baada ya mda gani maana ni 25days now naona kimya Click to expand... Ulifanya kitengo gani malanyingi uwa inakuwa wiki mbili mpaka tatu
E Elroysangi Member Joined Jan 11, 2021 Posts 11 Reaction score 3 Oct 11, 2021 #30 Doris fransis said: Ulifanya kitengo gani malanyingi uwa inakuwa wiki mbili mpaka tatu Click to expand... System developer naona sielewi kuna offer nimepata mahali sema nikienda kama huku utumishi nimepata ndo imekula kwangu niko dilema
Doris fransis said: Ulifanya kitengo gani malanyingi uwa inakuwa wiki mbili mpaka tatu Click to expand... System developer naona sielewi kuna offer nimepata mahali sema nikienda kama huku utumishi nimepata ndo imekula kwangu niko dilema
E Elroysangi Member Joined Jan 11, 2021 Posts 11 Reaction score 3 Oct 11, 2021 #31 Doris fransis said: Kama ni ya mkataba iyo sehemu ukipata utumishi unavunja mkataba unaweza usende uku utumishi mambo yanakuwa magumu Click to expand... Ni project na mtu so ikianza nikaridhia i cant bail out. Mbona unasema utumishi mambo ni magumu??
Doris fransis said: Kama ni ya mkataba iyo sehemu ukipata utumishi unavunja mkataba unaweza usende uku utumishi mambo yanakuwa magumu Click to expand... Ni project na mtu so ikianza nikaridhia i cant bail out. Mbona unasema utumishi mambo ni magumu??
saleni JF-Expert Member Joined Apr 6, 2019 Posts 1,879 Reaction score 2,859 Oct 14, 2021 #32 Mabugamtundu said: Habari ndugu zangu, Mdogo angu kaitwa interview ya vitendo shirika la reli TRC kwa fani ya equipment operator kwa mwenye ufahamu wanatumia mashine gani kufanyia usahili? Click to expand... Ingekuwa miaka ya zamani tungekuelekeza watu, angeenda tu kuzuga kuchukua kazi, siku hiz wengi hawana moyo ya kusaidia watu.
Mabugamtundu said: Habari ndugu zangu, Mdogo angu kaitwa interview ya vitendo shirika la reli TRC kwa fani ya equipment operator kwa mwenye ufahamu wanatumia mashine gani kufanyia usahili? Click to expand... Ingekuwa miaka ya zamani tungekuelekeza watu, angeenda tu kuzuga kuchukua kazi, siku hiz wengi hawana moyo ya kusaidia watu.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,102 Reaction score 184,848 Oct 14, 2021 #33 Natumae mleta mada ulipata muongozo...