Msaada interview za TRC

Mabugamtundu

Member
Joined
Jun 3, 2021
Posts
15
Reaction score
8
Habari ndugu zangu,

Mdogo angu kaitwa interview ya vitendo shirika la reli TRC kwa fani ya equipment operator kwa mwenye ufahamu wanatumia mashine gani kufanyia usahili?
 
Peni yake na ruler kama ikibidi. Peni lazima. Kwani kaitwa written, oral au vitendo??
 
Jaman namm msaada nmeitwa interview TRC station master written na oral
 
Wale walio itwa kwenye Interview ya HR mje tujuaje apa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…