NATAKA KULEWA
Member
- Jan 27, 2013
- 8
- 0
Mwenye kufahamu wadau na aliefanya interview pale ero link anijuze angalau nipate mwangaza interview za pale zinakuaje, coz wameniambia kesho nitafanya interview ya written, typing na computer, kwa aliyewahi kupitia pale msaada wadau