Nawasalimu wote.
Nina mtoto wa ndugu yangu yupo Dar hapo amemaliza mafunzo ya udaktari..yaani medicine ila kwa sasa alichelewa kufanya application za wizara kwa ajili ya kuanza Internship yake na hivyo kuwekwa pending hadi mwezi wa pili mwaka huu (15.02.2015).
Ok point yangu ni hii..wapi anaweza kupata kazi hapo hapo Dar japo ya kujishikiza kwa muda fulani maana mimi kumtumia hela ya matumiz kila mara kwa level yake bado hainiingii akilini vizuri.
Tafadhalini wadau naomba mnipe mwanga katika hili
Natanguliza shukrani zangu.