albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 2,000
- 3,395
Hodi, heshima yenu wakuu..
Natumia infinix hot 6, betrii 4000 MAH
TATIZO.
Kwa wiki tatu sasa simu yangu imekua na tatizo la kuchaji mwanzo ilikua iko faster sana kwenye kuchaji lisaa limoja ilikua imejaa ila kwa sasa.
1. Inaweza kuchaji faster kama kawaida yake
2. Inawe kutumia masaa 8 kupeleka 4% tu
3. Inaeza isichaji kabisaa hata kwa masaa 24.
KUTATUA TATIZO.
Nilibadili chaji
Nkaipeleka kwa fundi baada ya kugoma kuchaji kwa siku mbili ilipo fika kwa fundi ikachaji kama kawaida nkarudi nayo hom
Ikachaji kwa siku mbili ikagoma tena kabisaa nkarudi kwa fundi akabadili system chaji.....
Now inapeleka moto ilaaa si kwa spidi ya mwanzo kwa sasa inaweza kupeka asilimia 10 kwa lisaa limoja so inahitaji masaa 10 kujaa tena ikiwa imezimwa ikiwa on unaweza kukesha .
MSAAA WENU.
Naomba kufahamu tatizo ni nini ili nkienda kwa fundi niwe specific.
Natumia infinix hot 6, betrii 4000 MAH
TATIZO.
Kwa wiki tatu sasa simu yangu imekua na tatizo la kuchaji mwanzo ilikua iko faster sana kwenye kuchaji lisaa limoja ilikua imejaa ila kwa sasa.
1. Inaweza kuchaji faster kama kawaida yake
2. Inawe kutumia masaa 8 kupeleka 4% tu
3. Inaeza isichaji kabisaa hata kwa masaa 24.
KUTATUA TATIZO.
Nilibadili chaji
Nkaipeleka kwa fundi baada ya kugoma kuchaji kwa siku mbili ilipo fika kwa fundi ikachaji kama kawaida nkarudi nayo hom
Ikachaji kwa siku mbili ikagoma tena kabisaa nkarudi kwa fundi akabadili system chaji.....
Now inapeleka moto ilaaa si kwa spidi ya mwanzo kwa sasa inaweza kupeka asilimia 10 kwa lisaa limoja so inahitaji masaa 10 kujaa tena ikiwa imezimwa ikiwa on unaweza kukesha .
MSAAA WENU.
Naomba kufahamu tatizo ni nini ili nkienda kwa fundi niwe specific.