Wakubwa Salaam!!
Nimeitwa katika usaili Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Ninaomba msaada kwa anayefahamu ni hotel gani ninaweza kufikia ya bei ya Tsh 15,000/- kwa siku, mambo ya kula nitajua mbele ya safari.
Kama namba ya simu ya hotel hiyo inaweza kupatikana, nitashukuru ikiwekwa hapa ili tuweze kutoa oda ya chumba.
Asanteni
Nimeitwa katika usaili Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Ninaomba msaada kwa anayefahamu ni hotel gani ninaweza kufikia ya bei ya Tsh 15,000/- kwa siku, mambo ya kula nitajua mbele ya safari.
Kama namba ya simu ya hotel hiyo inaweza kupatikana, nitashukuru ikiwekwa hapa ili tuweze kutoa oda ya chumba.
Asanteni