Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,429
- 36,605
Habari wanaJF,
Mdogo wangu anatatizo la masikio kumuuma kwa ndani, naomba msaada wa hospital nzuri hapa Dar es Salaam ambayo naweza kumpeleka akatibiwa vizuri.
Msaada wenu ni muhimu
Asante
Mdogo wangu anatatizo la masikio kumuuma kwa ndani, naomba msaada wa hospital nzuri hapa Dar es Salaam ambayo naweza kumpeleka akatibiwa vizuri.
Msaada wenu ni muhimu
Asante