Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
nimeongea na mdau mmoja wa arusha yuko humu JF ni mtalam wa hii kitu,anasema kuwa hiyo programe ni kwa computer za MAC tu ambazo si nyingi9 kwa nchi kama za kwetu.
Hii ni kweli au nifanyeje,programme ninayo mkononi lakini haifanyi kwenye DELL nifanyeje.
Hii ni programme ya video editing
nitashukuru
Hii ni kweli au nifanyeje,programme ninayo mkononi lakini haifanyi kwenye DELL nifanyeje.
Hii ni programme ya video editing
nitashukuru