Msaada: Hii dawa kazi yake nini?

izo fungasi
huon apo fungicidal


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu inawezekana tatizo ni lugha. Mbona picha uliyopiga hapo juu ina maelezo yote ?
Kwa kifupi ni dawa ya Fungus(nafikiri ni mba kwa kiswahili) Hiyo ni maalum kwa maambukizi ya fungus yanayotokea ukeni. Hivyo vidonge vinasokomezwa huko ukeni kutibu hilo tatizo. Nafikiri nimesaidia.
 
Nashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni ARV`s hizi,kimbia bila kugeuka nyuma,usije ukageuka jiwe la chumvi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…