Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,793
Nashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?Mkuu inawezekana tatizo ni lugha. Mbona picha uliyopiga hapo juu ina maelezo yote ?
Kwa kifupi ni dawa ya Fungus(nafikiri ni mba kwa kiswahili) Hiyo ni maalum kwa maambukizi ya fungus yanayotokea ukeni. Hivyo vidonge vinasokomezwa huko ukeni kutibu hilo tatizo. Nafikiri nimesaidia.
Hapana mkuu,fungus sio ugonjwa wa ngono.Usiogope sana.Nashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?
Sent using Jamii Forums mobile app
UsiogopeHabari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini.
Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaadaView attachment 987236
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana relax ππππNashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pipe mkuu
Fangasi! Kwa mwanamke (kupaki) huko Iringa.Habari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini.
Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaadaView attachment 987236
Sent using Jamii Forums mobile app
tena broad spectrum inamaanisha anao wa kila ainaHabari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini.
Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaadaView attachment 987236
Sent using Jamii Forums mobile app