Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
yeah utapata....kama jina lako halitatoka inabd uende bodi ukawaelezee situation.....m pia nlipata the same situation nikaenda bodi na baadae nikapata mkopo....xo ukipata chuo nenda bodi mapema
Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
yeah utapata....kama jina lako halitatoka inabd uende bodi ukawaelezee situation.....m pia nlipata the same situation nikaenda bodi na baadae nikapata mkopo....xo ukipata chuo nenda bodi mapema
Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
Inategemea na ada ya chuo kama ni kubwa hiyo 100% utakayopewa haitatosha hivyo utaongezea ila kwa vyuo vya serikali na private baadhi ni rahisi kulipiwa ada yote maana ada yake siyo kubwa,for more information consult tcu guide book.
yeah utapata....kama jina lako halitatoka inabd uende bodi ukawaelezee situation.....m pia nlipata the same situation nikaenda bodi na baadae nikapata mkopo....xo ukipata chuo nenda bodi mapema
nlienda bodi nikawaeleza ...wakaniomba namba yangu ya form four...nikawapa then wakaniambia nisubiri wiki 2...baada ya wiki 3 jina likatoka na nikapata
Wadau nlichaguliwa chuo mwaka Jana na nikapewa mkopo,lakin kwa bahat mbaya chuo skuenda coz nlipata matatizo, mwaka hu nmefanya application ya chuo na mkopo upya ,
ivi wanaweza kunipa mkopo, ushaur wadau tafadhar
unapata tu ndg usiwe na shaka mungu atakusaidia mm rafik yang alidisco na alikuwa na mkopo bt kaomba chuo mwaka huu kapewa na mkopo kapewa ada 1.5 out of 1.6