Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

Joined
Oct 5, 2025
Posts
32
Reaction score
202
Wakuu

Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake.

Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa

Yaani mtu ambaye aliharibu hii nchi na kuwa ya kichawa, alifungia media hovyo na kutesa wapinzani hadi wakakimbia nchi ndo mnam-celebrate leo na kumuita shujaa?

Shujaa gani aliwezesha wizi wa kura na kufanya BUNGE LIWE LA CHAMA KIMOJA?

Hivi Watanzania tuna akili timamu kweli?
 
Wakuu

Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake.

Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa

Yaani mtu ambaye aliharibu hii nchi na kuwa ya kichawa, alifungia media hovyo na kutesa wapinzani hadi wakakimbia nchi ndo mnam-celebrate leo na kumuita shujaa?

Shujaa gani aliwezesha wizi wa kura na kufanya BUNGE LIWE LA CHAMA KIMOJA?

Hivi Watanzania tuna akili timamu kweli?
Alikuwa na mazuri yake, nadhani ndio yanazungumziwa sana ila mabaya yake ni muasisi wa bunge la hovyo na kuwapa polisi nguvu za kumenage vyama vya siasa
 
Watu wenye mawazo kama ya mleta mada ni wale wakifanyiwa auditing ghafla leo kwenye vitengo vyao wanaanguka presha wanakufa.

Hata sa100 siyo kwamba wanampenda hawamuelewi lakini kwa sababu kuna chance ya kuiba ndiyo wanajifanya wanamuelewa sanaa.
 
Shida yako mtoa mada umeangalia upande mmoja wa mabaya yake pekee

Jaribu kuangalia na mazuri yake pia

Hebu zungumzia;
Barabara ya njia 6 Kibaha hadi Kimara mwisho​
Angalia shirika la ndege ATCL alivyolijaza ndege za kutosha kuanzia bombardier hadi Airbus 🙌​
Angalia fly over Ubungo na pale Tazara​
Angalia Bwawa la Mwl Nyerere​
Angalia SGR kutoka DSM hadi Dodoma ni mwendo wa masaa 2 tu umefika Dodoma​
N.k​
 
Wakuu

Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake.

Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa

Yaani mtu ambaye aliharibu hii nchi na kuwa ya kichawa, alifungia media hovyo na kutesa wapinzani hadi wakakimbia nchi ndo mnam-celebrate leo na kumuita shujaa?

Shujaa gani aliwezesha wizi wa kura na kufanya BUNGE LIWE LA CHAMA KIMOJA?

Hivi Watanzania tuna akili timamu kweli?
Bila JPM isingekuwepo SGR, zisingekuwepo ndege 16 pia lisingekuwepo shirika la ndege lililokuwa limeshajifia.

Bila JPM yasingefanyika mengi sana yaliyoiwezesha Tanzania katika wakati fulani kuingia kwenye kundi la nchi zenye uchumi wa kati.

Binadamu hakamiliki, JPM hakukamilika. Hivyo tulioweka picha zake kwenye status hatujakosea hata kidogo.
 
Shida yako mtoa mada umeangalia upande mmoja wa mabaya yake pekee

Jaribu kuangalia na mazuri yake pia

Hebu zungumzia;
Barabara ya njia 6 Kibaha hadi Kimara mwisho​
Angalia shirika la ndege ATCL alivyolijaza ndege za kutosha kuanzia bombardier hadi Airbus 🙌​
Angalia fly over Ubungo na pale Tazara​
Angalia Bwawa la Mwl Nyerere​
Angalia SGR kutoka DSM hadi Dodoma ni mwendo wa masaa 2 tu umefika Dodoma​
N.k​
JPM hakutaka ujinga serikalini angalau katika kipindi cha miaka mitano waliopewa vyeo walitambua ukubwa na unyeti wa nafasi zao.
 
Mtu yeyote anaye mshabikia magufuri hana haki yeyote ya kumkosoa samia maana kila kinacho fanywa na samia sasa hivi mwalimu wake ni magufuri.
 
Nitaweza kumsamehe magufuli kwa mabaya yake lakini sitaweza kumsamehe samia kwa mabaya yake
 
Back
Top Bottom