Msaada: Gharama za Visa ya Marekani

Msaada: Gharama za Visa ya Marekani

Shabdullah

Member
Joined
Feb 17, 2020
Posts
65
Reaction score
52
Habari wadau.

Twende kwenye mada.

Nataka kuanza kufatilia visa ya kuingi U.S.A, je gharama yake ni bei gani. Na gkama kuna anaejua gharama inatokana na nini na nini. Ili nipate total cost hadi nakamilisha kila kitu kihusucho viza. .

Pia ningependa kujua vitu gani visikosekane kwenye kuomba viza, na ni vitu gani vinaweza kunikosesha viza.

Natanguliza shukrani. Nisaidieni majibu
 
Si uende Saudi Arabia huko au Oman mzee kule utanyimwa haki zako uanze kulalamika 😝😝
 
Anyway nafahamu sababu chache za kurahisisha upatikanaji wa Visa ya kwenda Marekani.
1. Mualiko.
2. Internship
3. Kusoma. N.k

Gharama yake itategemea na muda wake
 
Marekani kuna aina nyingi za Visa, weka dhumuni la safari yako watu wakusaidie...


 
Habari wadau.

Twende kwenye mada.

Nataka kuanza kufatilia visa ya kuingi U.S.A, je gharama yake ni bei gani. Na gkama kuna anaejua gharama inatokana na nini na nini. Ili nipate total cost hadi nakamilisha kila kitu kihusucho viza. .

Pia ningependa kujua vitu gani visikosekane kwenye kuomba viza, na ni vitu gani vinaweza kunikosesha viza.

Natanguliza shukrani. Nisaidieni majibu
Nenda kwenye tovuti yao
 
Back
Top Bottom