mkuu nimecheka Sana aiseeMimi lilinitokea hilo,walianza na ban ya dk 10,,wakaja ya masaa 2,3,7wakaona haitoshi wakaja na ya masaa 20,,hawakukoma wakarukia ya saa 24 huku nikisindikizwa na vitisho vya kupewa life ban looh,,nikaona isiwe tabu nikafutilia mbali
Mbona mi natumia fresh tu na sijaona tatizo lolote
Polee mkuu turudi njia kuuWamenipiga ban nyiing saana ,nshawachoka
Hakuna kinachoshindikana kwenye teknolojia, tumpe muda developer wa gb whatsapp atutafutie ufumbuzi wa ban.
Mi gb ipo naitumia tu freshWameanza na gb whatsap , is FM na yo labda badae
Mi gb ipo naitumia tu fresh
Hakuna kinachoshindikana kwenye teknolojia, tumpe muda developer wa gb whatsapp atutafutie ufumbuzi wa ban.
Ipo Kama WhatsApp ya zamani tuHiyo business INA feature zipi?
Ban inafuataMmh mnanitisha
Mimi mwenyewe nasema hapa hadi yanikute kwanza ndo nitarudi official....Mimi nipo Yowhatsapp na enjoy tu.
Wakinipa ban ntanyoosha mikono tu.
Mkuu sio wote wenye kuficha uovu Bali, wengne tunafata features Kama wallpaper, themes, download stutus, hide viewing stutus na mengne mengi tuBora mnatumia ma whatsapp ya hivyo kwa kazi gani sasa kama sio kuficha uovu tuh
Ban inafuata
hata mimi
Mmepewa ban na whatsapp oficiall na mnapoelekea mtapewa life banMi na fmwhatsapp kila muda inaleta ivi View attachment 1115604
Nimerudi whatsapp ya playstore pamoja haina ladha