Msaada facebook a/c

ngosha2011

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
681
Reaction score
87
facebook yangu niki log in inaniambia is unavailable niende facebook.com kwa maelezo zaidi,na huwa naitumia kila siku,sijajua tatizo nini na nitalitatua vipi.
 
Unaifungulia kwenye pc au phone?
 
Sasa wamekushauli uende fb.com wewe unakuja kutuomba msaada sisi, aiseee kazi kwelil
 
nafungulia simu wakubwa,nimekuja hapa jamii kwakuwa najua ni zaidi huko,na isitoshe nataka mawazo ili nikienda huko fb nisipate shida
 
soma vizuri hayo maelekezo nadhani itakuwa hivi 'go to facebook.com on your computer' kwa hyo unatakiwa kulog in kwenye computer then ufuate procedure watakazokupa, hii hutokana na kulog in ktk device tofaut ambayo haija be recognized au kusend friend request kwa mtu usiyemjua then akakuripoti au kusend frnd rqst nyingi kwa wakati mmoja
 
kuna unusual activities on your a.c! Fb admin wanakuambia utumie pc ili u verify kuwa wewe ndiyo mmiliki halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…