Shuka Macho...pita bonde la mpunga mpaka Msasani club...ita Uber watakufikiisha paapunashuka kutokea wapi? na ungo au?
mmh we jamaa muongo mbayaShuka Macho...pita bonde la mpunga mpaka Msasani club...ita Uber watakufikiisha paap
hujajibu swali., kutokea wapi? khaakwenye gari zipitazo mikocheni
kumbe ujanja wote wa kutamba hapa JF hupajui Escape one? Pole mkuu kutoka mkoaniMsaada wadau, nafahami ipo Mikocheni ila nikitaka kwenda escape one natakiwa nishuke kituo kipi? Je kutoka kituoni mpaka eneo husika kuna umbali gani? Asanteni
Mhmm mbona unazidi kumpa mtihani????Shuka Macho...pita bonde la mpunga mpaka Msasani club...ita Uber watakufikiisha paap
we nae? kwani lazma kujua kila sehemu! we ndo mshambakumbe ujanja wote wa kutamba hapa JF hupajui Escape one? Pole mkuu kutoka mkoani
Sio wakabaji...wabakaji....jiandaeunanielekeza kwa wakabaji wenzako eeh