Physics ishamtema automatically, zingatia principal pass mbili alizonazo ni Chemistry na Biology kwahiyo ni lazima kusomea ualimu kulingana principal pass zake
Kwasababu ndizo alizofaulu nazo kwa mazingatio ya principal pass zake yaan D mbili
Hatoweza kusomea ualimu wa Physics with either Chem or Bios kwasababu ya E ya Physics
Kwasababu ndizo alizofaulu nazo kwa mazingatio ya principal pass zake yaan D mbili
Hatoweza kusomea ualimu wa Physics with either Chem or Bios kwasababu ya E ya Physics