siwez kusema moja kwa moja kua aiwezekani ila possibility ni ndogo sana ajaribu kila mtu na bahati yake na mambo yanachange miaka na maikaJe mtu aliyepata division two ya PCB anaweza kusoma course gani ya afya pale Muhimbili au UDSM na je anaweza kupata mkopo aslimia ngapi?
Muhas HAPATIJe mtu aliyepata division two ya PCB anaweza kusoma course gani ya afya pale Muhimbili au UDSM na je anaweza kupata mkopo aslimia ngapi?
Je mtu aliyepata division two ya PCB anaweza kusoma course gani ya afya pale Muhimbili au UDSM na je anaweza kupata mkopo aslimia ngapi?
Kwa muhas ni ngumu jombaa siku hiziDivision II ya point 10 hata Medicine anaweza kusoma katika chuo chochote Tanzania, such as MUHAS, UDSM, Bugando, KCMC nk.
Kama ana point 11 au 12, inaweza ikawa ngumu kusoma Medicine, but anaweza kusoma other medical courses kama Pharmacy, Micro Biology, Molecular Biology etc.
Niweke sawa UDSM-MCHAS(Mbeya)Division II ya point 10 hata Medicine anaweza kusoma katika chuo chochote Tanzania, such as MUHAS, UDSM, Bugando, KCMC nk.
Kama ana point 11 au 12, inaweza ikawa ngumu kusoma Medicine, but anaweza kusoma other medical courses kama Pharmacy, Micro Biology, Molecular Biology etc.
Division II ya point 10 hata Medicine anaweza kusoma katika chuo chochote Tanzania, such as MUHAS, UDSM, Bugando, KCMC nk.
Kama ana point 11 au 12, inaweza ikawa ngumu kusoma Medicine, but anaweza kusoma other medical courses kama Pharmacy, Micro Biology, Molecular Biology
Yan chuo Cha UDSM cha darNiweke sawa UDSM-MCHAS(Mbeya)
Uwezekano upo maana kinacho determine usajili ni ushindani uliopo. Nakushairi nafasi ikotokea omba. Usisahau kukomaa na KCMC, UDOM nk nk.Vp kna uwezekano wa kupata nafasi kwa division two ya PCB ksoma course ya afya
Kwan muhas kuna nini special?MUHAS hupati nafasi. Yaan 2 uende Muhimbili?![]()
Ni kweli yupo sahihiKwan muhas kuna nini special?
Kipo ndo maana hawezi pata nafasi.Kwan muhas kuna nini special?
Best health University kwa sasa.Kwan muhas kuna nini special?
Hakuna mtu anaweza kukujibu hili swali zaidi ya watu wanao fanya selection SUA. Kitu pekee tunachojua sisi ambao hatuko SUA ni kwamba selection hutemea ushindani uliopo!Vp veterinary medicine pale SUA kna uwezekano wa kupata nafasi
mkuu hii unapply kwe website ya udsm au hio branch ya mbeya ina system yake?UDSM-Mwalimu Nyerere Main Campus(UBUNGO) Hakuna Health Related Program yoyote,Ila wana tawi lao LA Mbeya Ndio wanatoa, Mkuu