Mnavyoandika humu kwani unatuma sms kubanisha iwe kwa moja tu..
Ndio maana wengine huwa wanapita hawawapi majibu na huku wanayafahamu.. mjirekebishe na uandishi wenu humu.
Itawasaidia pia kimazoea kwenye mengi..
Unazani jeshini ndo pa kukimbilia kirahisi rahisi... nadhani hupajui jeshini wewMpeleke Jeshi huyo shule haiwezi
Hata kama education hawezi kukutana nayo...Education
Jeshini kutamfaa huyo dogo, maana kule nguvu nyingi akili kisodaUnazani jeshini ndo pa kukimbilia kirahisi rahisi... nadhani hupajui jeshini wew
Veta ???, mbona umemshusha sana ??.Aende Veta,