mkaa mweusi
Member
- Jan 14, 2011
- 69
- 26
Wakuu msaada, simu yangu Tecno Camon 12 iliingiliwa na maji ya mvua pindi ikiwa mfukoni. Niliitoa nakuendelea kuitumia (hapa sikujua kama maji yameeingia). Baada ya muda screen ilianzaa kuonyesha mistari inazima na kuwaka, kisha screen ikaanza kuchemka.
Nimeiweka juani na nilienda kukausha kwa fundi, lakini bado blink mistari na kuganda kwenye
blue screen. Kwa yoyote mwenye uelewa wa namna gani naweza iponyenyesha anisaidie.
Nimeiweka juani na nilienda kukausha kwa fundi, lakini bado blink mistari na kuganda kwenye
blue screen. Kwa yoyote mwenye uelewa wa namna gani naweza iponyenyesha anisaidie.