Msaada:desktop yangu haisomi flash,modemu wala memory card

Msaada:desktop yangu haisomi flash,modemu wala memory card

chelsea fc

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
864
Reaction score
213
habari ndugu wana jamvi
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu,kuna program flani iliwekwa na fundi kwa ajili ya kulinda computer sasa nimeenda kwenye control panel ili niweze kuito imeshindikana haitaki kutoka,ukiiclic haileti option ya kui uninstall,sasa nifanyeje?
 
mimi nina software ya ku-unstall. nipe contact zako ktk pm, kama uko around na ninapoishi fine.
 
labda ume dis-able hizo ports mkuu jaribu kucheck.
 
kivipi naomba nifahamishe!

go to my computer icon on desktop right click then click manage ikifunguka click kwenye device manager halafu kulia kwako fungua universal serial bus controllers zi expand uki right click kila moja utaona kama iko dis abled au enabled kama ziko dis abled wewe enable.
 
go to my computer icon on desktop right click then click manage ikifunguka click kwenye device manager halafu kulia kwako fungua universal serial bus controllers zi expand uki right click kila moja utaona kama iko dis abled au enabled kama ziko dis abled wewe enable.

ebwana shukrani kwa elimu uliyonipa,nimechek nimekuta zipo enabled,zingekuwa disebled zingekuwa zina x nyekundu.sasa kuna hii kitu USB disk security ime be installed nahisi ndio tatizo haitaki kutoka ukiigusa inadai password
 
ebwana shukrani kwa elimu uliyonipa,nimechek nimekuta zipo enabled,zingekuwa disebled zingekuwa zina x nyekundu.sasa kuna hii kitu USB disk security ime be installed nahisi ndio tatizo haitaki kutoka ukiigusa inadai password

jaribu kui unistall from control pannel then uniinstall programs kama iko installed kwenye pc yako. kama ni kwenye disk jaribu disk nyingine ambayo haina hiyo software ili kuconfirm tatizo lilipo.
 
kuna baadhi ya sofware aziwezi kutoka mpaka utumie software maalum au ukitafuta hile setup ya program yenyewe ifungue kama unataka kuinstall tena itakuletea option ya kuuninstall.
 
jaribu kui unistall from control pannel then uniinstall programs kama iko installed kwenye pc yako. kama ni kwenye disk jaribu disk nyingine ambayo haina hiyo software ili kuconfirm tatizo lilipo.

kupitia control panel ndio inagoma sasa,uki clic ile option inasema haiwezi kutoka inatumika
 
ebwana shukrani kwa elimu uliyonipa,nimechek nimekuta zipo enabled,zingekuwa disebled zingekuwa zina x nyekundu.sasa kuna hii kitu USB disk security ime be installed nahisi ndio tatizo haitaki kutoka ukiigusa inadai password
Nimekusoma kijana hiyo software hata mie ninayo na unaweza kuiset kuzuia watu wasichomeke flash au unaweza kuruhusu flash but ukazuia kuingiza au kutoa data mpaka uweke password.
Cha muhimu mwambie jamaa akupe hiyo password aliyotumia ikishindikana install program hii http://www.revouninstaller.com/download-professional-version.php itakukusaidia kuunstall hiyo software yako
 
Ikishindika ingia kwenye system files ufungue hiyo folder yenye program inayogoma ku uninstall na u delete kila file lilomo,mafaili mengine hayatakubali kuwa deleted. ukimaliza yote yanayokubali funga na urudi kwenye control panel,uninstall as usual. ikikubali nipe tano.
 
Back
Top Bottom