Prince Nyange
Member
- Apr 26, 2012
- 52
- 6
Habari za sasa members?
Nilikuwa natumia DEEP FREEZE lakini kutoka na hali ya mambo, nikaamua ku password hiyo deep freeze.
Tatizo linakujat hapa: NILISAHAU PASSWORD, so nilijaribu kueka password zote nilizozikumbuka, lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa huku DEEP FREEZE IKI RESTART PC kila baada ya 5 login attempts. Nafikiri ili kustop "BRUTE FORCE".
So, kama kuna yeyote mwenye mbinu mbadala, nitashukuru kama angalinifahamisha.
Natanguliza Shukurani. Ahsanteni
Nilikuwa natumia DEEP FREEZE lakini kutoka na hali ya mambo, nikaamua ku password hiyo deep freeze.
Tatizo linakujat hapa: NILISAHAU PASSWORD, so nilijaribu kueka password zote nilizozikumbuka, lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa huku DEEP FREEZE IKI RESTART PC kila baada ya 5 login attempts. Nafikiri ili kustop "BRUTE FORCE".
So, kama kuna yeyote mwenye mbinu mbadala, nitashukuru kama angalinifahamisha.
Natanguliza Shukurani. Ahsanteni