Ooh Ni urticaria japo ndo iko kwenye Early stage il cha msingi ni bora kuizuia...
Tafuta Predinisolone Tablets kunywa 10Mg BD kw siku 4 tu then 5mg BD kwa siku 3....
Halafu kama Panawasha sana Tafuta...
Hydrocortisone+Fusidic acid Cream paka mara mbili kwa siku kwa siku 5
Then Acha matumizi ya Mosquitos Repelent sio mazuri au unafanya kazi ya ulinzi?