Pole sana. Hebu soma hapa labda utapata ufumbuzi.Wana jamii watoto wa mdogo wangu wawili wanasumbuliwa na ugonjwa huu wa ngozi ,wakati wa kuwaogesha wanalia mpaka utawahurumia ,aliyepata msaada wa dawa atusaidie wana umri wa miaka 6 na 4.shukrani
Nilikuwa na tatizo hilo kwa mtu mwingine, nikaomba elimu kuhusu homoepathy maana niliambiwa inatibu hayo na mengine, baadaye niliendelea kufanya utafiti nikaelezwa kuna clinic tatu hapa Dar za homoepathy, moja iko sinza, nyingine Urafiki flats na nyingine ilala. jana jioni nilimtuma mgonjwa pale urafiki flats, kapewa dawa siju kama zitafanya kazi, lakini waliotuambia walisema walisaidiwa na tiba hiyo, jaribu na wewe
Mpeleke kwa Prof. Masawe pale muhimbili(kabla hujaingia muhimbili hospt,kwenye kona karibu na wanapouza majeneza), ana skin clinic waweza saidika!Wana jamii watoto wa mdogo wangu wawili wanasumbuliwa na ugonjwa huu wa ngozi ,wakati wa kuwaogesha wanalia mpaka utawahurumia ,aliyepata msaada wa dawa atusaidie wana umri wa miaka 6 na 4.shukrani