GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Habarini wana JF, Jirani yangu ana tatizo la ukubwa wa maumbile ambalo limetokana na kutumia dawa za kunenepesha na kurefusha. Kwa sasa limekuwa ni jambo la fedheha kwake kwani mtaa mzima anajulikana. Na hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kuolewa naye. Je kuna dawa yoyote anaweza kutumia kusolve tatizo hili?