Habari JF doctors.
Mwezi uliopita tarehe 28 nilichoma sindano ya uzazi wa mpango kwa mara ya kwanza.Kinachonishangaza huwa naenda bleed kwa siku 4 ila mwezi huu nimeanzaa kubleed tarehe 13 mpaka leo bado nina bleed.
Nimeshindwa kuelewa sababu ni sindano niliyochoma au tatizo ni nini?
Naomba msaada dawa nitakayotumia kukata bleed.
Nawasilisha.