Msaada: Dawa ya kuangamiza siafu

Msaada: Dawa ya kuangamiza siafu

mamaafacebook II

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
2,513
Reaction score
3,553
Wapendwa mambo vipi

Naomba kufahamishwa dawa ya kuangamiza hawa wadudu

Chumbani wamejaa mpaka kitandani hapa nipo nje nimeshachoma nguo lakini wapi ipi dawa ya kuwafanya wasirudi tena??
 
Kuna dawa ya wadudu inauzwa kwenye maduka ya dawa za kilimo, unamwaga kwenye vizingiti vya milango madirishani hapo utawazui kuingia ndani nje tafuta njia yao mule wanakopita jitahidi kuchoma Moto kila jioni na asubuhi uwe unafanya kuwatafuta hao wadudu sio wazuri hasa ukiwa na mtoto mdogo ndani wanauwezo wa kuua. Chukua hatua mapema
 
Kuna dawa ya wadudu inauzwa kwenye maduka ya dawa za kilimo, unamwaga kwenye vizingiti vya milango madirishani hapo utawazui kuingia ndani nje tafuta njia yao mule wanakopita jitahidi kuchoma Moto kila jioni na asubuhi uwe unafanya kuwatafuta hao wadudu sio wazuri hasa ukiwa na mtoto mdogo ndani wanauwezo wa kuua. Chukua hatua mapema

Wana uwezo wa kuua? How
 
Mafuta ya taa . mwagia walipo huku ukitafuta wanapotokea mwagia hapo watapotea
 
Wapendwa mambo vipi

Naomba kufahamishwa dawa ya kuangamiza hawa wadudu

Chumbani wamejaa mpaka kitandani hapa nipo nje nimeshachoma nguo lakini wapi ipi dawa ya kuwafanya wasirudi tena??
Vipi ulifanikiwa kupata dawa maana nami nasumbuliwa na siafu, huingia ndani kila baada ya siku chache. Na ni wengi sana. Nimeshindwa kujua chanzo chake ni nini na namna ya kuwadhibiti
 
Back
Top Bottom