MSAADA: Dawa ya kuacha kukojoa kitandani

MSAADA: Dawa ya kuacha kukojoa kitandani

USIFANYE HIVI
59588790.jpg
 
kamata wale nyoka wa kijani alafu mfunge kiunoni kama mkanda then upande juu ya mti wa mpera, ukisha panda unakojoa mkojo umwagike chini, ukishamaliza kukojoa tu unashuka kwa kuruka kutoka juu ya mpera mpaka chini.

n.b, zoezi hili lifanye asubui na jioni na hakikisha nyoka afi.
 
kamata wale nyoka wa kijani alafu mfunge kiunoni kama mkanda then upande juu ya mti wa mpera, ukisha panda unakojoa mkojo umwagike chini, ukishamaliza kukojoa tu unashuka kwa kuruka kutoka juu ya mpera mpaka chini.

n.b, zoezi hili lifanye asubui na jioni na hakikisha nyoka afi.
Hahhahaahha....
 
swala la kukojoa kitandani, linatibiwa kwa therapy au dawa za hospitali. Nenda Aga Khan.
 
Kabla ya kulala hakikisha anapata maji ya kunywa ya kutosha, glass 2, au 3

Siku ya kwanza na ya pili anaweza kuharibu kama kawaida yake
Ila after 7 days utaona matokeo


Ukileta marejesho ntakuja kutolea maelezo scientifically
 
Ukitafuta nyuzi za @mzizimkavu utapata tiba ya hili tatizo.

Kwa nyongeza tu Kwa wale wanaotumia dawa ambazo huwasababisha kukojoa mara kwa mara wanaweza kuwacha kutumia dawa hizo.

Vilevile kuna dawa ambazo hutolewa na daktari kuzuia kukojoa mara kwa mara.

Kwa wale wanaotokwa na mikojo wanapolala wanaweza kutokunywa maji mengi wakati wanapokwenda kulala.

Vilevile mtu anaweza kuweka muda wa kuamka kwa kutumia saa ili aweze kwenda haja ndogo.
 
Sijui kama itaaplai kwa watu wote.

Mimi niliamuaga kuwa najiuliza kila nikienda kukojoa kama nipo macho? au naota? kisha najaribu kuamka kiupande vuup. [Kwa kuinua na kulaza kichwa upande na upande] basi nikijaribu kuamka nikaona siamki basi nakojoa.

Samtaimu nikawa najaribu halafu najidanganya kuwa nipo macho najikojolea but after sometime kila nikijaribu kuamka kama nimelala naamka kweli! Ikafikia mda nikijiuliza najua kuwa naota na naamua ndotoni kuamka! Nawaaga nilokuwa napiga nao stori kwanza halafu naamka!

Kwa watu wanaojielewa ni rahisi kama hivyo. Simple. Anza kwa kupractise kujiuliza swali kabla hujakojoa 'JE? Nipo macho au nimelala' It works. Lifanye tendo la kukojoa liwe more conscious usikojoage tu automatically
 
Back
Top Bottom