Msaada dawa ya hili tatizo

Goguryeo

JF-Expert Member
May 17, 2019
2,447
4,383
habari zenu wakuu..

nimepatwa na mafua makali sana nahisi Kwa mara ya kwanza.

1. sisikii harufu ya kitu chochote ILA napumua nashkur Mungu.
2. mwili kuchoka kiasi japo juzi ilikua Hali tete ikabidili nipate ANTI-HOMA maana nilikua mwili umechoka balaa.
3. Sipengi kamasi ila usiku pua zinaziba ni balaa mpaka nahemea mdomo.
4. Generator la kupumulia utafikir limehamia kifuani nikivuta pumzi. kifua kinachemka sio poa.
5. sisikii hamu ya kula kabisaa ...siku kama 5 iv mpaka Leo.

Nimetumia mchanganyiko wa limao, tangawizi na kitunguu saum siku ya pili Leo naona bado bado ,kuziba Kwa pua kumening'ang'ania kweli.

Msaada wa tiba mbadala nijaribu pia tafadhali.🙏😔
 
COVID ATTACK LEVELS

Level 1 - Inatibika
Mwili kuchoka
Maumivu ya mwili mzima na viungo
Kichwa kuuma & Kizunguzungu

Level 2 - Inatibika
Kukosa hamu ya kula
Kushindwa kunusa harufu
Homa
Kikohozi
Kukosa pumzi (Kupumua kwa shida)

Level 3 - Hatari na ngumu kutibika

Kifua kubana
Makohozi yenye damu au njano nzito
Kushindwa kupumua (Kukosa hewa - unawekewa oxygen)
Homa kali
Mapafu kujaa maji (Pneumonia)

Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin,
Ped zinc,
Vitamin C na
Prednisolne.

Tusisahau: Tangawizi, Malimao na Kujifukiza.

Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.

Ambavyo ni:

  • Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *
  • Maembe - 8.7pH *
  • Tangerine - 8.5pH *
  • Mananasi - 12.7pH *
  • Dandelion - 22.7pH *
  • chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. Kuwashwa kwenye koo
2. Kukauka koo
3. Kikohozi kikavu.
4. Joto kubwa
5. kupumua kwa tabu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom