Habari naomba msaada kwa anayejua Dr mzuri wa tumbo la chakula na hospital anayopatikana
Sasa uko mkoa gani, na doctor yeyote aliyebobea kwenye uwanja wa tiba anaweza kukushauri na kukupa tiba na tiba inaanza na wewe. Unachokula ndio tiba namba 1, usitegemee ukipata doctor bingwa hata awe ndio mkufunzi kama hutojali nini unaweka mdomoni kwako ni sawa na bure.Ndio naelewa mm nilitak jina la Dr na hospital maana nishangaika sana
nenda pale Mloganzila ulizia DR Richard, yupo vizuriHabari naomba msaada kwa anayejua Dr mzuri wa tumbo la chakula na hospital anayopatikana