Msaada dadangu anatafuta ajira

Msaada dadangu anatafuta ajira

khadijaa

Member
Joined
Oct 17, 2020
Posts
82
Reaction score
204
Habari zenu.

Nina dada yangu jamani huu mwaka wa 4 sasa hana kazi, ana shahada ya Mass communication ame specialized in public relation.

Ameangaika kutafuta kazi sehemu tofauti mpaka leo hamna kitu. Jamani kama una connection huko msaada wako please.
 
Kuolewa vipi hataki? aA ndio mpaka apate kazi maana umli ndio unaenda huo
 
Aje ajitolee atapata posho laki 7 na nusu nyumba atapata ila kula atajitegemea akijiongeza kwa mabosi atapata ajira ya kudumu
 
Umezungumza ukweli kabisa mkuu.
Hicho ulichokisema kiliwahi kunitokea mara nyingi sana
Mwambie aolewe tu alee watoto kazi ukiitafuta sana huipati sometimes you need to relax hata ukipoteza kitu uki panic hukioni lakini uki relax utashangaa kipo hapo hapo na ulikipita.
 
Kwani ukisema kua ni wewe ndiye unayetafuta kazi utapungukiwa nini? ungekuja hata na ID nyingine kama ulikua hutaki kujulikana.
 
Kazi ashapata.anitafute inbox....interview ni yeye Tu.....aniambie huu msemo unamaana gani" ile kitu ambayo inamesa mwenzio....Masai voice"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom