Pole kwa kuuguza.
Zingatia ushauri kwenye post namba 2.
Kuna mambo/shughuli ambazo zinaweza kuwa ni chanzo cha tatizo, ila mgonjwa hajui huvyo haoni tatizo kueleza mpaka akutane na wataalamu.
Mfano: kwa hapa tunawaza shida kwenye mishipa ya fahamu inayopeleka na kupokea mwasiliano toka mguuni.
1: Je ganzi inaishia wapi, ina muda gani, ilianzaje, ilianzia wapi, shughuli zake kuhusisha mgongo?
2: Historia ya ajali yoyote?
3: Umri wa mhusika?
4: Kazi zake?
5: Pia uhitaji wa vipimo zaidi?