Msaada CV ya wakili msomi Fatuma Karume


Hahahahahaah....hivi Watanzania aliyewadanganya kuwa mtu mpaka awe na kiduka anafanya biashara ndo akili ni nani?

Kuna watu wanaingiza pesa ya maana kwa kukaa kwenye desk kuliko wanaobangaiza.

Yani mtu kaanzisha hadi law firm yake lakini sababu hafanyi masuala ya "kufunga mzigo" anaonekana si kitu kwako.

Sielewi tukusaidie vipi ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…