Kna mwenye ...kuingia Darasani...alafu sio msomi...
Usomi maana yake nini...
Au ukiwa mpinzani ndo unapanda cheo kuwa msomi?
Acheni basi....nimewachoka...mnsjiita wasomi alafu 23...mnachungulia viposho vya Kunyonywa kwenu...80% unalipwa 20%...
Nataka
Mtamke hivi cv ya mfanyabiashara makini...hii hapa....
Et wakili mdomi...
Upuuzi mtupu na misifa ya kojinga