Msaada: Chuo gani kizuri kusoma database management-Oracle

KasomaJr

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
368
Reaction score
144
Wana IT na computer Science, Please naombeni msaada, nataka kufanya database management-Oracle, ni chuo gani mnaweza kuni recommend hapa DAR? background yangu ni
1. Accounting (Undergraduate)
2. Finance (Postgraduate)
3. Project Management (Diploma)
Naomba contact kwa kila atakae nipa ushauri.
Asanteni sana.

Kumbuka:
Hii nataka kufanya si kwa sababu ya kutafuta Ajira, la hasha, bali ujasiliamali na mapenzi katika IT related stuff.
 

Kwa hiyo kwa sasa knowledge yako kwenye IT ikoje?Kwani kama utaanza na database hofu yangu inawezekana mambo mengi yatakayotajwa ukiwa unasoma hiyo database yakawa mageni kabisa.Anyway fika pale techno brain wanaweza kukusaidia.
 
Kwa hiyo kwa sasa knowledge yako kwenye IT ikoje?Kwani kama utaanza na database hofu yangu inawezekana mambo mengi yatakayotajwa ukiwa unasoma hiyo database yakawa mageni kabisa.Anyway fika pale techno brain wanaweza kukusaidia.
Nashukuru sana kwa ushauri wako na kutaka kujua ukweli kuhusu background yangu kwenye IT...Ukweli ni kwamba sina background yoyote ya IT lakini nina mapenzi makubwa mno na IT tangu nilipo maliza kidato cha sita na nilipata nafasi ya kufanya IT na Accounting nikajikuta nimeenda Accounting ambako mpaka leo unaweza niuliza nikakosa majibu how did it happen ( kifupi sikupa guidlines nzuri).
 


Mkuu unapoacha ku pursue your heart uka pursue mkumbo unarudisha sana nyuma maendeleo yako.
Ungeingiamo IT tangu enzi hizo sasa hivi ungekuwa una maexperience meeengiiiiii.
Anyway, fuata ushauri wa Aqua hapo juu.
TechnoBrain wako vizuri sana hao jamaa nawakubali.
 
Last edited by a moderator:

Ni kweli Hekimatel, lakini ukweli juu ya yote sijachelewa kwa namna yoyote ile....nina hakika still elimu ya IT nitakayo pata hata kama ni kuipata katika kipindi cha 2 years na baadae kuitumia for the rest of my life bado itakuwa na msaada kwa jamii. Asante kwa mchango wako.
 
sasa si ''uguge''?
 
unataka oracle, Microsoft Access umeiweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…