Msaada: Certification ya Advanced Diploma

Acha uoga, ukiona nafasi imetangazwa wewe peleka naombi. Kuna mwajiri gani asiyeelewa?
Advance diploma ni sawa na shahada ya kwanza.
Utajipotezea nafasi kwa kuwa na hofu isiyokuwapo.
Pa1 mkuu
 

Inawezekana tuu, Jiunge degree kwa miaka miwili kisha utapata Higher diploma, ila hakikisha unasoma kwenye Taasisi ( Institutes) like IFM, CBE, NIT Ndio kuna mfumo huo, ukisoma universities hakuna iyo option
 
D
Inawezekana tuu, Jiunge degree kwa miaka miwili kisha utapata Higher diploma, ila hakikisha unasoma kwenye Taasisi ( Institutes) like IFM, CBE, NIT Ndio kuna mfumo huo, ukisoma universities hakuna iyo option
DUh hapo kweli changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…