kajiti
Member
- Oct 19, 2011
- 59
- 7
Hii canon IR2018 photocopy/printer/sccaner ni mpya ila ushamba kazi! Nimenunua na cartridge ambayo kwenye manual ina jina la "drum unit" ila baada ya kusoma vizuri manual na kuangalia machine "toner cartridge" haipo. je hii inaweza kuwa sababu machine kushindwa kutoa copy? kuna tofauti gani kati ya kazi ya toner cartridge na drum unit?