Bro cwez kukulaumu maana hujui what am i through kwa sasa wth my family!kama wafikiria abt divisions and not subjected matter napata shida i can't questn back abt your level of understandingCjui nikuponde au bas huenda hujapata hyo div one ila umeandika tu kama kick
Kila chuo unachokijua kinatoa computer science ila geology inatolewa na vyuo viwili tu udsm na udom so lazma kwa computer kutakua na graduates weng na pia waliopo mtaa ni wengiBro cwez kukulaumu maana hujui what am i through kwa sasa wth my family!kama wafikiria abt divisions and not subjected matter napata shida i can't questn back abt your level of understanding
Bado atakuwa haiKwa upande wangu ningekushauri uchukue Computer science, japo graduates ni wengi ila ina wigo mpana wa ajira in the future!
Mifumo mingi inakuwa automated kutokana na maendeleo ya sayansi na technologia..
ukisma hizo fani lazima urudi mtaani ukaponde kokoto,,,,badili fani
Umesoma chuo gani na level gani? niambie nikusaidie kitu.Geology???? Mwenzio nasugua gaga na geology yangu kitaaan
Pole mkuuGeology???? Mwenzio nasugua gaga na geology yangu kitaaan