Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
HABARI WAKUU?
naomba msaada juu ya nini la kufanya blackberry yangu imegoma kufanya kazi ghafla...nikiwasha ina load mpaka mwaisho then ina stack kwa mda mrefu, kisha inawaka hapo inaniandikia java lang error,niki press ok inakaa sawa lakini niki start application yeyote inakuwa white kwenye screen then inaandika App Error 603 au 602 inasema reset nikipress reset inarudia yale yale.
Nimekwama kwa siku 7 sasa nimeona niombe msaada Jamvini..
Natanguliza Shukrani zangu.
naomba msaada juu ya nini la kufanya blackberry yangu imegoma kufanya kazi ghafla...nikiwasha ina load mpaka mwaisho then ina stack kwa mda mrefu, kisha inawaka hapo inaniandikia java lang error,niki press ok inakaa sawa lakini niki start application yeyote inakuwa white kwenye screen then inaandika App Error 603 au 602 inasema reset nikipress reset inarudia yale yale.
Nimekwama kwa siku 7 sasa nimeona niombe msaada Jamvini..
Natanguliza Shukrani zangu.