Msaada Betri ya Samsung note 4

mshamu

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
418
133
Wadau naomba msaada kwa dar wapi nitapata betri nzuri kwa Samsung note 4 niliyonayo haicharge tena yani unakuta ipo full lakini ukiwasha haiwaki kabisa. Nikijua na bei itakuwa vizuri sana.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom