Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Heshima kwenu wakuu. Natafuta betri (original kama itawezekana) ya samsung J7 (2016). Hii niliyonayo imechoka balaa. Chaji kukaa hata 2 hours ni bahati. Nimejaribu kuzunguka madukani wananishangaa tu. Wengine wanasema wameagiza toka mwaka jana August hadi leo hazijafika.
Kwa mwenye nazo au kujua zinapopatikana please tusaidiane.
Kwa mwenye nazo au kujua zinapopatikana please tusaidiane.