Mugerick
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 499
- 531
Jamani naomba kujibiwa, eti ni benki gani nzuri kufungua account ya biashara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
nakushauri tumia DTB, ina matawai ya mpaka saa 1 usiku na kuna matawai yanapiga kazi wkend mpaka jioni piaJamani naomba kujibiwa, eti ni benki gani nzuri kufungua account ya biashara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua na DTB mkuuMm mwenyew napenda kufahamu in and out juu ya bank gan nawza kufungya account za biashara coz npo nafanya business alaf nashidwa kufamu jinsi ya kutunza pesa mpaka ntakpo ends kuchukua Mzigo mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app