Habari zenu wana jamvi, natumaini mu buheri wa afya.
Naomba msaada wa kupata bei za mazao yafuatayo:
- Maize
- Soya Beans
- Sugar canes/ Sugar
- Rice
- Sorghum
- Beef, kwa kipindi cha miaka mitano (5) iliyopita, ninaandaa mradi wa kilimo lakini upatikanaji wa taarifa umekuwa changamoto sana. Nimejaribu kuangalia kwenye webiste za NBS, Wizara ya Kilimo, Wizara ya Fedha na Bodi mbalimbali bila mafanikio.
Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu..
Sovi
Naomba msaada wa kupata bei za mazao yafuatayo:
- Maize
- Soya Beans
- Sugar canes/ Sugar
- Rice
- Sorghum
- Beef, kwa kipindi cha miaka mitano (5) iliyopita, ninaandaa mradi wa kilimo lakini upatikanaji wa taarifa umekuwa changamoto sana. Nimejaribu kuangalia kwenye webiste za NBS, Wizara ya Kilimo, Wizara ya Fedha na Bodi mbalimbali bila mafanikio.
Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu..
Sovi