Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Wakuu Umofia kwenu.
Ninaomba kuulizia aina ya basi LUXURY linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Jiji la Mbeya. Na mara nyingi hufika saa ngapi Mwanza? Nataka kuunganisha safari kwenda hadi Magu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba kuulizia aina ya basi LUXURY linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Jiji la Mbeya. Na mara nyingi hufika saa ngapi Mwanza? Nataka kuunganisha safari kwenda hadi Magu.
Sent using Jamii Forums mobile app