nataka kujua
Member
- May 1, 2014
- 31
- 5
nimatumaini yangu wana jf wazima ninaomba msaada kwa anayefahamu kuhusu comprehensive motor insurence anieleze kiundani
nimatumaini yangu wana jf wazima ninaomba msaada kwa anayegffahamu kuhusu comprehensive motor insurence anieleze kiundani
nimatumaini yangu wana jf wazima ninaomba msaada kwa anayefahamu kuhusu comprehensive motor insurence anieleze kiundani
Mkuu kuna aina tatu za motor insurance
-THIRD PARTY ONLY.Hii ni lazima gari lako liwe nayo kwa mujibu sheria ya nchi,hii policy inamcover mtu wa tatu i.e third party ambaye hayuko kwenye mkataba kati yako Insured na Kampuni ya bima Insurer.Sasa basi ikiwa gari lako/pkpk ikikonga na kuharibu gari lingine,kumgonga mtu na kumsababishia majeraha au kifo au likiharibu mtu mwingine hii policy itakusaidia kulipa lkn tambua bima hii hailindi gari lako ni third party tu.
-THIRD PARTY FIRE & THEFT,Hii policy inafanya kazi kama hiyo ya kwanza na ziada,ikiwa gari lako litapata uharibifu kutokana na moto na kuibiwa au jaribu la kuibiwa,ni nzuri ukiwa nayo lkn siyo bora.
COMPREHENSIVE.Hii ndio bima kubwa kwa vyombo vya moto sababu inajumuisha hizo policy zote na zaidi inalilinda gari lako ikiwa litaharibika kutokana na ajali,ukiwa na hii policy you are on safe side coz imekava risks zote.Na hata gharama yake ni kubwa kulinganisha na izo zingine.Hope umepata mwanga kidogo.