Ikiwa zimebaki siku 37 tufanye mtihani wa kidato cha sita. kuna tetesi kwamba huenda suala la kujiunga na JKT lisiwepo, mimi nashindwa kuelewa kuwa mtu ajiandae kwenda jeshi au kufanya mambo mengine. kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu hili anijuze,
usiogope kjana, JKT haipo tena coz serkal haiwez toa mabilion kwa ajir ya kulsha vjana huko, maana mwaka huu kila kigogo anawaza kuchota mabilion ya kusepa nayo na kufanyia campaign so KWA MUJIBU haipo tena!!!
Ikiwa zimebaki siku 37 tufanye mtihani wa kidato cha sita. kuna tetesi kwamba huenda suala la kujiunga na JKT lisiwepo, mimi nashindwa kuelewa kuwa mtu ajiandae kwenda jeshi au kufanya mambo mengine. kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu hili anijuze,
Ikiwa zimebaki siku 37 tufanye mtihani wa kidato cha sita. kuna tetesi kwamba huenda suala la kujiunga na JKT lisiwepo, mimi nashindwa kuelewa kuwa mtu ajiandae kwenda jeshi au kufanya mambo mengine. kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu hili anijuze,
kama unania ya kwenda JKT cha msing ondoa hofu ..
kumekuwa na fununu za uwongo et kuna mateso na udharirishaji ila hz funun co za kweli fungua moyo kila kitu kinawezekana kwan hao unao waona sas waliweza vp ,kajioneee mwenyew usiisgie kuambiwa bhana jeshn raaahaa sanaaa
JKT Imesitisha mpango wa jkt kwa Mujibu wa sheria mwezi July wanachukua vijana wa kujitolea source, mwakilishi wa Rais mahafal ya OP miaka 50 ya muungano awamu ya pili 833kj Oljoro, tar 29 december 2014
kama unania ya kwenda JKT cha msing ondoa hofu ..
kumekuwa na fununu za uwongo et kuna mateso na udharirishaji ila hz funun co za kweli fungua moyo kila kitu kinawezekana kwan hao unao waona sas waliweza vp ,kajioneee mwenyew usiisgie kuambiwa bhana jeshn raaahaa sanaaa