Kwa akili zako na elimu uliyo nayo sijui ya wapi, unapotumia mtandao wa kijamii unadhani huo mtandao ni sawa na nani?
Si kila unayemuona anatembea ana mawazo kama yako.
Mojawapo ya mfumo ulio duniani ni kutambua hulka ya mtu na kuieshimu.
Wapo wengi na wenye uwezo lakini hawana nafasi kama unayotaka wewe itumike hapa. SOON.