Msaada anaefahamu bei ya tangawizi kwa kilo

Msaada anaefahamu bei ya tangawizi kwa kilo

Mr.Duttu

Member
Joined
Nov 7, 2015
Posts
91
Reaction score
57
Hey,mambo vp wana jamii forum?
Natumai mu wazima kabisa, ombi langu kwenu kwa anaefahamu bei ya tangawizi sokoni kwa kilo naomba anipe price tafadhari na kama kuna anayefahamu soko la tangawiz kwa ujumla naomba anipe data sahihi kwa ujumla maana uko mkoani kuna ekari 3 za tangawizi zilizo tayari kwaajili ya kuingia sokoni

[HASHTAG]#changamkia[/HASHTAG] fursa
 
Screenshot_2016-11-07-17-35-14-1.png
 
Natumai mu wazima kabisa, ombi langu kwenu kwa anaefahamu bei ya tangawizi sokoni kwa kilo naomba anipe price tafadhari na kama kuna anayefahamu soko la tangawiz kwa ujumla naomba anipe data sahihi au kama kuna link ya kujua bei za masoko ya tanzania anisaidie tafadhali
 
Kariakoo bei 1000 mpaka 900 kwa jumla.alafu reja reja 4000.duh.mkulima anaumizwa na mfanyabiashara
 
Ninazo gunia 20 mwenye kujua Soko la chap.Kariakoo Mzigo mpaka upite pite kwa madalali duh
 
Back
Top Bottom